Serikali yatoa hatua zinazofuata kwenye Tanzanite

Waziri wa Madini Dotto Biteko akiwa na mchimbaji mdogo Saniniu Laizer wilayani Simanjiro mkoani Manyara.

Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema serikali itakuja na mpango wa namna ya matumizi ya mawe ya madini ya Tanzanite yaliyopatikana Mererani, ambayo yameweka rekodi ya kuwa makubwa zaidi katika historia ya uchimbwaji wa madini hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS