Serikali yatoa hatua zinazofuata kwenye Tanzanite
Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema serikali itakuja na mpango wa namna ya matumizi ya mawe ya madini ya Tanzanite yaliyopatikana Mererani, ambayo yameweka rekodi ya kuwa makubwa zaidi katika historia ya uchimbwaji wa madini hayo.

