Kilichojiri kwa Askari aliyemuua raia mweusi

Upande wa kushoto, Askari akionekana kumkandamiza raia mweusi, kulia ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha.

Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha, amesema kuwa mpaka sasa hivi wale Askari wanne waliokuwepo katika tukio la mtu mweusi nchini humo aliyekandamizwa kwa goti shingoni mwake na kupoteza maisha wamekwishafukuzwa kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS