Kilichojiri kwa Askari aliyemuua raia mweusi
Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha, amesema kuwa mpaka sasa hivi wale Askari wanne waliokuwepo katika tukio la mtu mweusi nchini humo aliyekandamizwa kwa goti shingoni mwake na kupoteza maisha wamekwishafukuzwa kazi.