Ulevi, ugomvi na mama yake vimefanya kuacha muziki

Vanessa Mdee

Msanii Vanessa Mdee amesema hataki kuwa sehemu ya tasnia ya muziki na mfumo wa kazi wala kwenye soko la muziki, pia amehusisha sababu kama ulevi uliopitiliza, ugomvi na mama yake,sapoti huzuni na presha ndiyo vimemfanya kuacha muziki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS