Ligi kuchezwa kituo kimoja, timu kugharamiwa

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Serikali imeruhusu ligi tatu tu kwa sasa kuanza wakati wakiangalia hali ya maambuzi ya virusi vya Corona yalivyo ili kuzuia maambukizi mapya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS