Askari aliyemuokoa mtoto shimo la choo atoa ahadi

Askari wa Zimamoto wilayani Ngara, Denice Minja

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wilayani Ngara mkoani Kagera, Denice Minja ambaye alimwokoa mtoto katika shimo la choo cha shule ya msingi Murgwanza wilayani humo, ameahidi kumlea mtoto huyo katika maisha yake yote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS