Zijue kauli alizoambiwa Mbowe kabla ya kuvamiwa

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe

Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa, kabla ya watu wasiojulikana kumvamia na kumshambulia Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, walimuambia kwamba yeye amekuwa akiisumbua sana Serikali na wala hawana mpango wa kumuua bali wanataka kumvunja tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS