Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid
Tume ya Uchaguzi Zanzibar imetangaza kufuta majimbo manne 4 ya uchaguzi kutokana na changamoto tofauti ikiwemo ongezeko la idadi ya watu katika maeneyo mbalimbali ya mjini na vijijini.