Akamatwa kwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja

Mikono ikiashiria mtu amekamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi

Moja kati ya habari ambayo imetawala kwenye vyanzo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, inaeleza kukamatwa kwa mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kubaka wanawake 40 ndani ya mji mmoja kwa muda wa mwaka 1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS