Manyara: Mwenyekiti wa CCM mbaroni kwa rushwa

Chama cha Mapinduzi CCM

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Manyara inawashikilia Mwenyekiti wa CCM tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wa tawi hilo kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS