Manyara: Mwenyekiti wa CCM mbaroni kwa rushwa Chama cha Mapinduzi CCM Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Manyara inawashikilia Mwenyekiti wa CCM tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wa tawi hilo kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa. Read more about Manyara: Mwenyekiti wa CCM mbaroni kwa rushwa