Msanii wa Bongofleva afiwa na mama yake

Msanii wa BongoFleva Makamua

Msanii wa BongoFleva kutokea kundi la Wakali Kwanza Makamua amefiwa na mama yake leo hii Juni 29, na msiba upo nyumbani kwao Tabata Kisukulu ambapo anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa au Jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS