'Ndugai yuko sahihi kuwakatalia CHADEMA' - Msekwa Spika Ndugai na Pius Msekwa Spika Mstaafu Pius Msekwa amesema, uamuzi wa Spika Ndugai wa kukataa kuvuliwa Ubunge kwa Wabunge 4 wa CHADEMA ni sahihi kwa kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea kimaamuzi. Read more about 'Ndugai yuko sahihi kuwakatalia CHADEMA' - Msekwa