Msanii wa Bongofleva afiwa na mama yake Msanii wa BongoFleva Makamua Msanii wa BongoFleva kutokea kundi la Wakali Kwanza Makamua amefiwa na mama yake leo hii Juni 29, na msiba upo nyumbani kwao Tabata Kisukulu ambapo anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa au Jumamosi. Read more about Msanii wa Bongofleva afiwa na mama yake