"Baba yetu alituzaa 46,kwa wake tofauti" - Timbulo
Msanii wa BongoFleva Timbulo amefunguka kuwa huwa anamuona baba yake kama babu yake kwa sababu kwao wamezaliwa watoto wengi sana hadi kufikia hatua ya mzazi wake huyo kuwachanganya na watoto wengine.
