Sababu ya Mbowe kuitwa Polisi yatajwa

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene, na Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho Tumaini Makene, kimesema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni lilimuita Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, ili kujua alikuwa anataka kuhutubia kitu gani kwa umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS