Akutwa amefariki mwili ukielea juu ya mto

Mwili

Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika anayekadiriwa kuwa na miaka 35 jinsia ya kiume amekutwa amefariki dunia na mwili wake ukiwa unaelea kando ya mto Mpanda eneo la Misunkumilo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS