Michezo ya SHIMIWI Yapamba Moto Jijini Tanga

Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wiraza na Idara za Serikali na Mikoa
(SHIMIWI) 2022, yanaendelea kupamba moto Oktoba 2, 2022 jijini Tanga kwa michezo
mbalimbali kutimua vumbi ikiwemo mpira wa netiboli, mchezo wa kuvuta kamba kwa
wanaume na wanawake na mpira wa miguu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS