Jinamizi la majeraha lamuandama Neymar aumia tena

Nyota huyo wa zamani wa Santos ya Brazil amekitumikia kikosi cha Al-Hilal michezo saba tu tangu ajiunge na timu hiyo kutokea PSG mwaka 2023.

Jinamizi la majeruhi limeendelea kumuandama Nahodha wa timu ya Brazil Neymar Junior baada ya jana kuumia tena misuli kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa barani Asia uliozikutanisha timu za Al-Hilal dhidi ya Esteghlal jana Jumatatu Novemba 4, 2024.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS