Polisi watakiwa kumaliza uhalifu mitandaoni Waziri wa mambo ya ndani, Mhandisi Hamad Masaunui Jeshi la Polisi nchini limetakiwa kuongeza nguvu kwenye rasilimali watu, vifaa na uwekezaji kwenye tehama ili kupambana na uhalifu wa mitandaoni ambao umekuwa ukisababisha changamoto kwa wananchi. Read more about Polisi watakiwa kumaliza uhalifu mitandaoni