
msanii wa muziki wa nchini Uganda G-Snake
Kwa mujibu wa Ronald kalibbala ambaye ni mume na pia meneja wa msanii huyo, tukio la shambulizi la mkewe limetokea baada ya kukataa kufanya onesho katika tukio ambalo alialikwa na kulipwa kwa makubaliano ya kuhudhuria peke yake na si kutumbuiza.
Kwa sasa G-Snake anaendelea kuuguza majeraha wakati Frank akiendelea kujificha kusipojulikana, upande wa mashtaka ukipambana kuhakikisha kuwa anapatikana na sheria inachukua mkondo wake.
