Picha za wasanii Mr Nice, Chidi Benz na Diamond Platnumz
Kikosi cha kwanza kwenye mpira lazima kiwe na wachezaji 11, ila hapa nazungumzia 'First Eleven' ya waliofikia Level ya juu kabisa ya ustaa, umaarufu, ku-hit na kupata majina makubwa kimuziki
- Prof Jay
- Dully Sykes
- P Funk Majani Master J
- Mr Nice
- Mr Blue
- Juma Nature
- TID Music
- Jide
- Alikiba
- Chidi Benz
- Diamond Platnumz
Kwa First Eleven hiyo, SUB ungemuweka nani na nani?
Ni mtazamo tu, msikasirike washkaji haya mawazo tu.





