
Anthony Gordon
Huenda mazungumzo yakaanza wiki hii au wiki ijayo, hii yote ni kutokana na wachezaji wa Liverpool Luis Diaz na Diogo Jota ambao wanaweza kuondoka katika dirisha hili la kiangazi.
Washambuliaji hao wanalewa kuwa nafasi yao kubwa ni kuondoka klabuni hapo, na Liverpool imemuona Anthony Gordon kuwa sehemu ya mpango huo.
Pia Liverpool inapanga kufanya usajili wa washambuliaji wawili na kiungo mkabaji mmoja pamoja na beki wa kati mmoja kabla dirisha kubwa halijafungwa mwezi August.