
Utafiti uliochapishwa katika jarida maarufu la magonjwa ya Moyo umeeleza kuwa ikilinganishwa na wasiotumia, wale waliotumia bangi pia wana hatari kubwa ya 29% ya mshtuko wa moyo na hatari kubwa ya 20% ya kiharusi
Daktari wa watoto na Profesa wa kliniki inayohusika na takwimu za magonjwa katika Chuo Kikuu cha California, San Francisco Dk. Lynn Silver, amesema kuwa Huu ni moja ya tafiti kubwa zaidi hadi sasa unaohusu uhusiano kati ya bangi na ugonjwa wa moyo, na unaibua maswali mazito kuhusu dhana kwamba bangi huwa na hatari ndogo kwa moyo na mishipa