
Muigizaji huyo amemfungulia mashitaka Tyler Perry huku akitaka kulipwa fidia ya dola milioni 260 ambayo ni sawa na bilioni 680 kwa pesa za kitanzania
Timu ya wanasheria wa Nguli Tyler Perry imekanusha madai hayo na kusema kuwa lengo la mashitaka hayo ni kutaka kumpunguza nguvu Muigizaji huyo
Ikimbukwe kuwa wasanii Diddy ,R Kelly wanakabiriwa na kesi za aina hii jambo ambalo limewafanya baadhi ya wadau kuanza kufikiria ya kuwa huenda Perry na yeye akakumbwa na yaliyowakuta Diddy na R Kelly