
Pichani ni Harmonize na Ibraah
Baada ya Chinga kutoka kwenye kikao hicho amezungumza na waandishi wa habari na ameweka wazi kuwa jambo hilo mpaka sasa lipo sehemu sahihi na likikamilika wataliongelea
Akizungumza na waandishi Ibraah amesema.................."Tumefanya mazungumzo lakini kikubwa tuwaachie Basata wao ndio wana maamuzi sahihi juu ya hili na namshukuru Mwenyezi Mungu kwasababu tulipofikia ni pazuri''
"Ndani tulichozungumzia ni migogoro iliyopo kati yetu mpaka itakapo kuwa sawa ndio tutaliongea zaidi''