
Kocha wa Yanga Hamdi Miloud
"Alama moja tunayo tofautiana na Simba haitoshi, tunahitaji kushinda kila mchezo na ndio mlengo namba wa timu yetu wa kuchukua alama tatu. Tuna michezo mitatu pekee za kucheza, ninafuraha kwa kuwa kuna wachezaji wamerejea Uwanjani, Kwahiyo tunaiheshimu Namungo hatupaswi kufanya makosa Kwahiyo ni mchezo muhimu kwetu"- Miloud Hamdi
Namungo hapo kesho watamkosa Mlinzi wao wa kati, Erasto Edward Nyoni kwa sahabu za kikanuni kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.