
Picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan
Taarifa hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mwana FA katika tukio la All-Star Comedy Festival, lilofanyika Mlimani City.
Baadhi ya mastaa wa uchekeshaji waliotokea All Star Comedy Festival ni Coy Mzungu, Leonardo, Ndaro, Shafii Brand,SaidSaid, Kipotoshi, Nanga OG, Masantula na Eliud.