![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2025/02/12/mama weeb.jpg?itok=o5dHOGxw×tamp=1739386289)
Mzazi wa Rabia
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo amesema tukio hilo limetokea Februari 11, 2025, majira ya saa 10:00 jioni ambapo mwili wake umekutwa ndani ya chumba alichokuwa akiishi.
Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa jamii kuwa na hofu ya mungu na kuzifahamu njia za kudhibiti msongo wa mawazo ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza
Ambapo tayari mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi wa kitaalamu na kukabidhiwa kwa ndugu kwaajili ya taratibu za maziko.