Unaambiwa kocha wa klabu ya Manchester United, Erik Ten Hag amesisitiza kwa kuuambia Uongozi wa klabu hiyo kuwa hataki kumsajili Sofyan Amrabat kwa usajili wa Kudumu mara baada ya muda wake wa mkopo kumalizika.
Submitted by Julius Dominic on Friday , 29th Dec , 2023
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.