
Picha ya aliyekuwa msanii Ally B
Taarifa zinasema marehemu Ally B alianza kujisikia vibaya na kukimbizwa Hospitali ambapo umauti ulimkuta. Msanii huyo alitamba na nyimbo za Maria na Bembea.
Vyanzo mbalimbali vya habari Kenya na wasanii wa nchini humo wameshea taarifa ya kifo cha Mwanamuziki mkongwe Ally B ambaye amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi wakati anapatiwa matibabu Hospitali ya Makadara Mombasa.
Picha ya aliyekuwa msanii Ally B
Taarifa zinasema marehemu Ally B alianza kujisikia vibaya na kukimbizwa Hospitali ambapo umauti ulimkuta. Msanii huyo alitamba na nyimbo za Maria na Bembea.