
Awali Onana alikubali kurejea katika kikosi cha timu hiyo ya taifa kwa ajili ya mchezo mmoja tu pekee ambao walicheza dhidi ya timu ya taifa ya Burundi, na baada ya hapo akasema kuwa kutakuwa na mazungumzo zaidi ikiwa watafuzu AFCON, na hivi sasa wameshafuzu na hivyo amekubali kurejea tena.