
Picha ya Ray Kigosi
"Mimi ndo msanii namba moja East Africa ma Muasisi wa kazi hizi za Tanzania. Msanii mkongwe mwenye uwezo mkubwa wa kuigiza na ku-produce movie na Tamthilia. Ni nembo ninayoitangaza Tanzania kimataifa na kitaifa" amesema Ray
Filamu ipi unaikubali zaidi kutoka kwake?