
Wasanii wa Nigeria
Burna Boy alifanya show kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) kati ya Manchester City na Inter Milan iliyofanyika nchini Uturuki June 10, 2023
Tiwa Savage alitumbuiza kwenye sherehe za kutawazwa kwa Mfalme Charles III wa Uingereza, Mei 8 mwaka huu.
Davido alipiga show kwenye utolewaji wa tuzo za BET zilizofanyika nchini Marekani mwaka huu.
Na usiku wa kuamkia leo Heis Rema alitumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za Ballon d’Or zilizofanyika nchini Ufaransa.