
Picha ya Moni Centrozone
Moni Centrozone ameweka wazi hilo kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. Zaidi tazama hapo kwenye video akizungumzia hilo.
Rapa wa Majengo Sokoni Music Moni Centrozone amefunguka kumu-unfollow Harmonize baada ya CEO huyo wa Konde Gang kuanza kumu-unfollow Moni mtandao wa Instagram.
Picha ya Moni Centrozone
Moni Centrozone ameweka wazi hilo kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. Zaidi tazama hapo kwenye video akizungumzia hilo.