
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya, Mrakibu Gervas Fungamali amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa Kikosi cha Zimamoto kimefanikiwa kudhibiti moto ili usilete madhara zaidi
Mlipo huo umehusha gari namba T 298 CKF aina Howo yenye tela namba T407 BCN ambalo lilikuwa linachomelewa