Viongozi wa UVCCM Ulanga
Mwenyekiti wa UVCCM wilayani humo Shahista Suleman, amesema tamasha hilo lina lengo la kumtia moyo Rais kutokana na kazi kubwa inayofanywa na serikali yake kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo hasa katika sekta ya afya, maji, elimu na ajira kwa vijana.
Naye Katibu wa Hamasa na Chipukizi wilaya hiyo Thomas Machupa amebainisha kuwa pamoja na mambo mengine wanaishukuru serikali na mbunge wa jimbo hilo kwa kuwawezesha vijana katika vikundi 7.