
Picha ya msanii wa Uganda Jose Chameleon
Barua ya Chama hicho inaeleza kuwa wamefanya utafiti na wameona umuhimu wa kuweka bei za wasanii wao ili kuendelea kufanya biashara na asiyefurahia malipo ya pesa walizowawekea wamewaruhusu kuandaa shows zao wenyewe.
Katika list hiyo wapo wasanii wenye makubwa kama Bebe Wine, Jose Chameleon, Eddy Kenzo na Spice Diana.