Viongozi hao kesho watapigiwa kura na wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM Taifa
Aidha Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Shaka Hamdu Shaka amesema kwa mara ya kwanza wagombea wengi wamejitokeza kugombea nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu ya CCM
Jumla ya wajumbe wanaohitajika ni 30 (15 Bara na 15 Zanzibar) lakini waliojitokeza kugombea nafasi hizo ni wanachama 2703