
Wambura alikuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI)
Aidha Rais Samia amemteua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro kuwa balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ramadhan Hamisi Kingai na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).
Kingai anachukua nafasi ya Camilius Wambura ambaye ameteuliwa kuwa IGP
