
Mzee Maganga amedai kuwa kijana wake huyo amekuwa akimsumbua ikiwemo kumfungia ndani kwa siku kadhaa akimtaka ampe uridhi ikiwemo nyumba hizo
"Aliniwekea sjui kitu gani sikijui na akanifungia mlango ndani, mpaka mama Masawe alipompigia mtoto wangu wa kike"
Tazama video hii