Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe, Janeth Magomi
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe, Janeth Magomi, amesema kuwa walipokea taarifa za mwanamke huyo aliyepotea tangu Januari 13, 2022.
Kamanda magomi amesema baada ya wananchi kuamua kumtafuta mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa umetupwa porini kwenye korongo.