
Picha ya msanii Marioo
Kupitia EATV & EA Radio Digital, Marioo amesema kwa sasa yupo 'single' ila anataka kuwa na mwanamke ambaye hata akifika mahali watu waogope kutokana na muonekano wake.
"Vigezo na masharti vizingatiwe, kwanza lazima awe mtoto mzuri na mkali nikitokea naye sehemu fulani watu wanaogopa, sio unatembea na mwanamke watu hata hawamuangalii, mimi kwanza napenda umbo na jinsi alivyo kama tabia zake nitajua baadae" amesema Marioo