
msanii Pius Mayanja aka Pallaso wa nchini Uganda
Pallaso ambaye alisababisha fujo hizi katika nyumba ya ndugu yake Weasel TV, amekwishaomba msamaha kwa ndugu yake huyu akiwa sasa anabanwa na mikono ya sheria kwa kutenda kosa hili.
Milioni 8 za Uganda ndiyo kiwango cha dhamana inayomuweka nje msanii huyu, huku dalili zikuonyesha kuwa huenda akapatikana na hatika kutokana na kosa hili alilolitenda akishirikiana na meneja wake na rafiki zake wengine wawili.
