
Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi NCBA na kulia ni Mkuu wa Masoko, Mawasiliano na Utaifa wa Benki hiyo, Caroline Mbaga
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi NCBA Julius Konyani amesema punguzo hilo ni kwa wateja wote ambao watanunua bidhaa katika maduka ya GSM kuanzia kiasi cha shilingi laki moja na nusu.
Naye Ofisa Masoko wa GSM, Fatma Farah amesema wamejipanga vizuri kutoa huduma hiyo ambapo pia amewakaribisha wateja hao katika maduka yao.