Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Godwin Mollel mara baada ya kufanya ziara katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutembelea taasisi ya mifupa ya Moi, Jengo la wagonjwa wa moyo JKCI na kujionea matibabu mbali mbali yanayofanyika katika hospitali hiyo.
Kwa upande wao madaktari bingwa wa moyo pamoja na viongozi wa taasisi hizo wameeleza changamoto za magonjwa ya moyo na matibabu yake.

