
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana.
Kamanda Shana amesema hayo leo Aprili 14, 2020, wakati wa mahojiano maalum na EATV& EA Radio Digital.
"Mimi nyumbani kwangu kwakweli nimeweka sanitizer za kutosha hata wageni wanokuja lazima wanawe mikono, japokuwa huku kijijini wanaona kama vile ni kujidaidai na matawi ya juu, wanasema ni mambo ya kizungu" amesema Kamanda Shana.
Kamanda Shana yupo mkoani Mara kwa ajili ya likizo.