
Madee kupitia ukurasa wake wa Twitter amehoji kama kuna watu wanahitaji kufa ili wakapumzike ni mema gani wametenda huku kweye ukurasa wake wa Instagram akiongeza kwamba "unakaba,unasengenya,unadhulumu, alafu unaomba ufe ukapumzike! JIPANGE" - Madee ameandika.