
Mgombea Urais kupitia chama cha SAU Muttamwega Mgaywa (Kulia), alipowasili ofisi za NEC Dodoma peku akiwa na wenzake.
7 Aug . 2020

Makocha Jurgen Klopp wa Liverpool (Kulia) na Frank Lampard wa Chelsea (Kushoto) wakizungumza jambo katika moja ya mechi zilizozikutanisha timu zao.
7 Aug . 2020

Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo Bernard Membe akikabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, na wa kwanza kushoto ni Mgombea mwenza Profesa Omar Hamad.
7 Aug . 2020

Joseph Selasini
7 Aug . 2020

Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini.
7 Aug . 2020

Mwanasheria Fatma Karume "Shangazi"
7 Aug . 2020

Viungo matata wa Klabu ya Manchester United, Paul Pogba (Kulia) na Bruno Fernandes wakipongezaka kwa kazi nzuri.
7 Aug . 2020