
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, James Macharia na kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Anga nchini, Hamza Johari.

Mfungaji bora wa klabu ya Yanga msimu wa 2019/20, David Molinga (Pichani) akiwa katia Studio za East Africa Radio kwenye Kipindi cha Michezo cha Kipenga kinachoruka kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 2 Usiku

Mshike mshike kati ya Mbeya City na Mbao katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kikosi cha Lipuli Fc ya Iringa ambayo imeshuka daraja.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi akizungumzia masuala mbali mbali yanayohusu Mashindano.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Katibu Mtendaji BASATA Godfrey Mngereza upande wa kushoto, kulia ni msanii Nandy

Kiungo Zawadi Mauya (Kati kati) akiwa na viongozi wa Yanga, Hersi Said ambaye ni makamu mwenyekiti kamati ya mashindano(Kushoto) na Kaimu Katibu wa klabu hiyo Patrick Simon (Kulia) wakati wa ukamilisho wa usajili.