
Watuhumiwwa wa kesi ya uhujumu uchumi

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi akizungumza na waandishi wa habari (hawapopichani).

Profesa Ibrahim Lipumba

Mshambuliaji wa Yanga, Tuisila Kisinda (Kushoto) akijaribu kumpita mlinzi wa Mbeya City, Hassan Mwasapili (Kushoto) katika mchezo wa VPL uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa .

Mshambuliaji wa Simba SC Meddie Kagere amemaliza kinara wa ufungaji wa ligi kuu tTanzania bara kwa misimu miwili mfululizo akifunga jumla ya mabao 45

Mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu akiwa katika picha ya pamoja na Askofu wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dk. Benson Bagonza alipkuwa huko kwaajili ya kampeni.

Baadhi ya Emoj mpya ambazo zitapatikana kwenye simu za Smartphone

Nyota wa zamani wa Liverpool, Jammie Carragher enzi za uchezaji wake.

Baadhi ya waalimu wa mkoa wa Dar es Salaam waliohudhuria kikao kazi kilichoitishwa na Mkuu wa mkoa huo.