Cristiano Ronaldo akiukokota mpira wakati Juventus ilipokua ikikabiliana na AS Roma kwenye mchezo wa Serie A uliomalizika kwa sare ya bao 2-2.

28 Sep . 2020

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije akitoa maelekezo.

28 Sep . 2020

Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu.

28 Sep . 2020

Mashabiki wa Yanga wakitamba katika Uwanja wa Mkapa.

28 Sep . 2020

Kushoto ni Dkt. Frank Hawasi akikabidhi fedha za rambirambi zilizotolewa na Rais Magufuli kwa mzee Polkap Mlelwa, Baba mzazi wa marehemu Emmanuel Mlelwa

28 Sep . 2020

Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi (Pichani) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kwa umakini.

28 Sep . 2020

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone (Pichani) akijiandaa kupiga mpira wa kona, ni mmoja ya wachezaji waliotoa pasi nyingi za mabao( 4) hadi sasa.

28 Sep . 2020

Marehemu Emmanuel Polycupy Mlelwa.

27 Sep . 2020