
Staa wa muziki wa Bongofleva Real Jofu
Real Jofu ameelezea kuwa licha ya menejimenti yake Linah kutoweza kupata ruhusa hiyo, alianza mchakato wake wa kutafuta wasanii wengine wa kike ambao nao ilikuwa vigumu kwa staa huyo kuweza kuwapata wakiwemo Recho na pia Meninah ambao nao walikuwa na shughuli zao binafsi.
Real afunguka zaidi kuhusiana na mchakato huo wa kuwapata madiva hao hadi kufikia hatua ya kumnasa Ney Lee kuweza kushiriki katika video hiyo mpya.
