
msanii wa muziki wa bongofleva jaffaryhmes
Jaffarhymes amesema kuwa, yeye ni mfanyabiashara na pia msanii ambaye ni mkali na jina lake lilishajitengenezea nafasi yake katika gemu, tofauti na wasanii wanaotoka sasa hivi na rekodi za muda mfupi wakiwa wanajiona mastaa tayari.
