
Vyanzo vya habari vimesema kila aliyeonekana na umuhimu mkubwa katika jamii nchini Nigeria alialikwa kuhudhuria harusi hiyo maridadi.
Nyota wa tasnia ya filamu nchini Nigeria nao hawakauachwa nyuma kwani alikuwemo Ini Edo pamoja na Omotola Jalade wakivalia sare za rangi ya Blue.
